Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
MBUNGE
wa Kibaha Mjini, Silvestry Koka, ametumia zaidi ya sh milioni 150
kuwezesha vikundi vya ujasiriamali vilivyopo katika jimbo lake, ikiwa ni
pamoja na vikundi vya wanawake na vijana.
Koka alibainisha hayo mjini Kongowe juzi alipozungumza na wananchi katika Kata ya Kongowe.
Alisema kati ya fedha hizo, sh milioni 24 amesaidia kwa kuviwezesha
vikundi vya wanawake na sh milioni 126 ametoa kwa ajili ya makundi
mengine na vijana.
Chanzo;Tanzania Daima
0 comments:
Post a Comment