Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Mwenyekiti wa kijiji hicho, Omary Mmanga, alieleza hayo hivi karibuni
alipozungumza na waandishi wa habari kijijini hapo na kusema wakazi wa
kijiji hicho hivi sasa wanalazimika kutumia maji ya madimbwi baada ya
kumalizika kwa mvua za masika.
Alisema hali hiyo imekuwa tisho kwa wakazi wake, kwani maji hayo
yamekuwa yakiwasababishia magonjwa ya tumbo, hivyo ameuomba uongozi wa
halmashauri ya wilaya kuwa karibu na mkandarasi ili aweze kuukamilisha
mradi huo kwa wakati.
Wakazi wa kijiji hicho; Habiba Msandawe, Ally Mumule na Zurufa
Yussuf, walisema wanalazimika kutumia maji hayo na ya visima ambayo si
salama
Chanzo:Tanzania Daima
0 comments:
Post a Comment