Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, akionyeshwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Eng. Mussa
Iombe, sehemu ya Daraja la Mpiji linalounganisha Bagamoyo na Dar es
Salaam, lililokatika kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha
nchini, wakati Makamu alipofanya ziara hiyo ya kujionea maendeleo ya
ujenzi wa daraja hilo leo Aprili 13, 2014. Picha na OMR
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akisalimiana na baadhi ya viongozi wanaosimamia shughuli ya daraja
hilo, baada ya kuwasili eneo hilo leo. Picha na OMR
Sehemu
ya daraja hilo, linavyoonekana baada ya kuongezeka upana kwa kulika
kutoka mita 25 na sasa kufikia mita 75, ambapo tayari Malori yameanza
kumwaga vifusi vya mawe ili kuziba eneo hilo na kuweza kuunganisha njia
hiyo. Picha na OMR
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akiongozana na baadhi ya viongozi kuelekea eneo la tukio kukagua
maendeleo ya ujenzi wa Daraja la Mpiji lililokatika kutokana na Mvua
kubwa zinazoendelea kunyesha nchini. Picha na OMR
Nguzo za umeme zikiwa zimeinama baada ya kuzidiwa nguvu na maji hayo yaliyobomoa daraja. Picha na OMR
Malori yakimwaga vifusi vya Mawe kwenye daraja hilo. Picha na OMR
Malori yakimwaga vifusi vya Mawe kwenye daraja hilo. Picha na OMR
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akitoa maelekezo kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Eng. Mussa
Ibrahim Iombe, wakati alipotembelea kukagua maendeleo ya ujenzi wa
Daraja la Mpiji lililokatika kutokana na mvua kubwa zinazoendelea
kunyesha nchini.Katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mecky Sadick.
Picha na OMR
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akizungumza na waandishi wa habari baada ya kuhitimisha ziara yake
hiyo, katika eneo la Daraja la Mpiji, linalounganisha Bagamoyo na Dar es
Salaam, leo Aprili 13, 2014. Picha na OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, akiondoka eneo la tukio Daraja la Mpiji baada ya kumaliza ziara
yake ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa Daraja hilo lililokatika kutokana
na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini. Picha na OMR
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akiondoka eneo la tukio Daraja la Mpiji baada ya kumaliza ziara yake ya
kukagua maendeleo ya ujenzi wa Daraja hilo lililokatika kutokana na
mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini. Picha na OMR
0 comments:
Post a Comment