Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Ridhiwani alitoa kauli hiyo juzi wakati akihutubia wakazi wa Chalinze kwenye kampeni zake zinazoendelea jimboni humo.
Alisema anayafahamu matatizo ya wakazi wa jimbo hilo, hivyo anawaomba kumpa ridhaa ya kuwa mbunge ili ayatatue kwa wakati.
Chanzo ;tanzania daima
0 comments:
Post a Comment