Jeshi
la Polisi katika mkoa wa Pwani limewatunukia nishani maofisa wa Jeshi
hilo na baadhi ya wadau ambao wamelitumikia kwa uaminifu mkubwa,
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani,Kamishna msaidizi mwandamizi ULRICH
MATEI amesema kuwa hatua ya kuwatunukia nishani hizo maofisa na wadau
ili kujenga utamaduni wa kupongezana na kutiana moyo.
Kamanda MATEI amebainisha kuwa kuna changamoto mbalimbali katika suala
zima la ulinzi na usalama, na amewataka watanzania kuhakikisha wanapanda
mbegu za kuheshimu sheria bila shuruti kuanzia nyumbani ili kujenga
jamii yenye kuzingatia maadili na utu.
Home »
» POLISI PWANI YATUNUKU NISHANI MAOFISA WA JESHI HILO
0 comments:
Post a Comment