Home » » Katibu Mkuu atembele Kiwanda Cha Matrekta Na Kiwanda Cha Viua Dudu

Katibu Mkuu atembele Kiwanda Cha Matrekta Na Kiwanda Cha Viua Dudu

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Prof. Elisante Ole Gabriel akiendesha trekta la Kiwanda cha URSUS.
Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Prof. Elisante Ole Gabriel atembelea kiwanda cha Viua dudu kilichopo Tamco – Kibaha na kukutana na balozi wa Cuba nchini Tanzania Mhe. Lucas Domingo Hernandez Polledo.
Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Prof. Elisante Ole Gabriel, akiagana na na balozi wa Cuba nchini Tanzania Mhe. Lucas Domingo Hernandez Polledo.
Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Prof. Elisante Ole Gabriel akiwa na balozi wa Cuba nchini Tanzania Mhe. Lucas Domingo Hernandez Polledo pamoja na uongozi wa Kiwanda cha Viua dudu Kibaha Mkoani Pwani.
 

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Pwani Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa