Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Hamisi Kigwangalla ambaye alikuwa mgeni rasmi akizungumza katika tukio hilo la kukabidhi vifaa tiba vilivyotolewa na Mbunge wa Jimbo la Kibaha Mjini, Mh. Koka
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Hamisi Kigwangalla akikabidhia nyaraka zenye vifaa tiba akikabidhiwa na Mbunge wa Jimbo la Kibaha Mjini, Mh. Koka
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Hamisi Kigwangalla akikabidhi nyaraka yenye idadi ya vitu hivyo vya vifaa tiba kwa uongozi wa Kituo cha Afya Mkoani Kibaha Mjin wakati wa tukio hilo la kukabidhi vifaa tiba vilivyotolewa na Mbunge wa Jimbo la Kibaha Mjini, Mh. Koka
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Hamisi Kigwangalla akishuhudia vitu hivyo vilivyotolewa na Mbunge wa Jimbo la Kibaha Mjini, Mh. Koka
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Hamisi Kigwangalla ambaye alikuwa mgeni rasmi akiwa katika picha wakati wa tukio hilo
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Hamisi Kigwangalla kisalimiana na na uongozi wa Mkoa na Wilaya ya Kibaha
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Hamisi Kigwangalla akisaini kitabu cha wageni kwa ofisi ya Wilaya ya Kibaha
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Hamisi Kigwangalla akisalimiana na baadhi ya Madiwani wa Jimbo la Kibaha Mjini
Baadhi ya vifaa tiba vilivyokabodhiwa leo
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Hamisi Kigwangalla akifanya ukaguzi katika maeneo mbalimbali ya kituo cha Afya Mkoani
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Hamisi Kigwangalla akikagua eneo la mahabara katika kituo cha Afya Mkoani, Kibaha Mjini
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Hamisi Kigwangalla akikagua eneo la Chumba cha Upasuaji katika kituo cha Afya Mkoani, Kibaha Mjini
Baadhi ya vifaa vilivyotolewa na mbunge wa jimbo hilo
Wakiangalia vifaa hivyo
Mbunge wa Kibaha Mjini Mh. Koka akielezea namna vifaa hivyo
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Hamisi Kigwangalla akipiga picha ya pamoja na baadhi ya watendahi wa Hospitali ya Mkoa, Kituo cha Afya Mkoani na Mganga Mkuu wa Mkoa
0 comments:
Post a Comment