Home » » BASI LA AHIDA'S LAPATA AJALI KIBITI MKOANI PWANI

BASI LA AHIDA'S LAPATA AJALI KIBITI MKOANI PWANI

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

Basi la Kampuni ya AHIDA"S 
 lenye namba za usajili T 231 BHC linalofanya safari zake za kila siku Kutoka Dar - Lindi - TunduruLimepata ajali mapema asubuhi ya leo katika eneo la kijiji cha Kinyanya - Kibiti na kudaiwa Kusababisha Vifo zaidi ya watu 3 na majeruhi.
Ajali hiyo ilitokea baada ya Dereva wa basi hilo kumkwepa 
mtoto aliyekuwa anakatiza barabara.

 Mara baada ya kutokea ajali hiyo dereva aliweza kujisalimisha kituo cha polisi cha Kibiti. Basililikuwa likitokea Dar es salaam kwenda Tunduru.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Pwani Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa