Home »
» ABIRIA 55 WANUSURIKA KIFO NI BAADA YA BASI LA HOOD KUTEKETEA KWA MOTO
ABIRIA 55 WANUSURIKA KIFO NI BAADA YA BASI LA HOOD KUTEKETEA KWA MOTO
Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Zaidi
ya Abiria 55 waliokuwa ndani ya Basi la kampuni ya Hood, wakisafiri
kutoka Mbeya kwenda Arusha walinusurika kufa baada ya Basi hilo kushika
moto na kuteketea kabisa katika kijiji cha Kilolele-Chalinze Mkoani
Pwani. Chanzo-Dj Sek Blog
0 comments:
Post a Comment