
*Ni katika muendelezo wa kampeni ya elimu kwa umma kuhusu Skimu ya Taifa ya Hifadhi ya Jamii kwa Wananchi Waliojiajiri Chalinze mkoani Pwani *NSSF yaahidi kufikisha elimu ya hifadhi skimu kwa wananchi wengi zaidiNa MWANDISHI WETU, PWANIWaziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Ridhiwani Kikwete amewaongoza mamia ya wananchi wa Chalinze mkoani Pwani, katika muendelezo wa elimu kwa umma kuhusu Skimu ya Taifa ya Hifadhi ya Jamii kwa Wananchi Waliojiajiri yenye jina la kampeni "NSSF STAA WA MCHEZO".Akizungumza na wananchi waliojiajiri, mwishoni mwa wiki iliyofanyika Chalinze mkoani Pwani, Mhe....